Staa
wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’
amevuta mkoko wa Kijanja wenye thamani ya ‘mkwanja wa Kibongo Milioni
60 keshi.
|
![]() |
Katika hatua nyingine Diamond alifunguka kuwa awali alinunua mdinga kama hiyo huko visiwani Zanzibar, lakini baada ya kuikagua aligundua kuwa lina matatizo na kuamua kulirudisha na kuagiza kitu kipyaaaaaa.


No comments:
Post a Comment