Saturday, June 30, 2012
Friday, June 29, 2012
Monday, June 25, 2012
Sunday, June 24, 2012
PICHA 9 ZA MISS ARUSHA- WARIDI FRANK NDIO MISS ARUSHA 2012!
![]() |
| Diamond Akitoa Burudani katika Mashindano hayo |
![]() |
| Diamond Juu Ya Jukwaa la Mamiss |
![]() |
| MISS ARUSHA 2012 WARID FRANK |
![]() |
| MISS ARUSHA NA 1 WARID FRANK KATIKA VAZI LA UBUNIFU |
![]() |
| MISS ARUSHA NA 2 SARAH BENJAMIN KATIKA VAZI LA UBUNIFU |
![]() |
| MSANII SAM WA UKWELI AKITO BURUDANI |
![]() |
| MISS ARUSHA TANO BORA |
![]() |
| MISS ARUSHA NA 3 ANITHA BENJAMIN KATIKA VAZI LA UBUNIFU |
MASHINDANO YA KUMTAFUTA MREMBO WA JIJI LA ARUSHA MISS REDDS ARUSHA 2012 YAMEFANYIKA JIJI HAPA KATIKA HOTELI YA MOUNT MERU HUKU MREMBO WARID FRANK AKIIBUKA MSHINDI, NAMBA 2 IKISHIKWA NA SARAH BENJAMIN NA ANITHA SEBASTIAN AKISHIKA NAFASI YA TATU.
PICHA ZOTE NA DJ NASS
Saturday, June 23, 2012
Friday, June 22, 2012
DOGO JANJA ATUA DAR KAMA MFLAME NA HIVI NDIVYO ALIVYO POKELEWA
Dogo Janja
ambae alisema amefurahishwa na hayo mapokezi na kusisitiza kwamba japo
aliapa hatorudi kuja kusoma Dar wazazi wake wamemsihi kwamba zile
zilikua hasira tu hivyo arudi Dar na aedelee na masomo kitu ambacho
amekikubali kwa roho safi.
Janja amesema bado hajasaini
mkataba mpya na WATANASHATI lakini kuna watu wake wawili anaowasubiri
kwa ajili ya kuja kuupitia pamoja huo mkataba, baada ya hapo ndio
atasaini kama amekubaliana nao na atatangaza.
Amesema amebadili mawazo na
sasa atasoma Dar es salaam katika shule nzuri ambayo aliahidiwa na Ostaz
Juma meneja wa Watanashati, atakua anapelekwa shule na kurudishwa
nyumbani kwa gari, anachohitaji pia ni kusoma kwenye shule binafsi nzuri
na pia swala lake la muziki kuzingatiwa.
kwenye
sentensi nyingine amesema “sasa hivi nitakua naigiza na filamu pia na
kina Kitale manake tuko nao kwenye kundi moja la watanashati”
Kwa kumalizia Janja amesema
kauli mbiu ya wakati huu imebadilika “kauli mbiu ya wakati nilivyokujaga
nilisema nawakalisha matembo sasa hivi nawalaza chali matembo”
Thursday, June 21, 2012
Wednesday, June 20, 2012
Tuesday, June 19, 2012
Madee WANTED (Arachunga) Arusha!
Kama kawaida yao kwa machalii wa Arusha (A-Town) ni kwamba ukimzingua chalii mmoja wa Arachuga tambua kuwa umemess up na mji mzima.
Kwa mujibu wa taarifa za uhakika toka A-TOWN ni kwamba kama Madee asipoonyosha maelezo yake kuhusu haki ya Dogo Janja ama kuomba radhi kwa walichomfanyia (Tip Top Connection), Arusha itakua chungu kwao. Kuna wale wanaosema kuwa wakimwona Arusha basi atarudi Dar jina tu.
Wapenzi wa hip hop jijini Arusha wana hasira na Madee kwakuwa wanaamini kuwa amemdhulumu Dogo Janja haki yake na kama asipoenda hewani kukiri kosa lake mambo yanaweza kuwa magumu zaidi kwake.
HUU NDIO MKOKO WA DIAMOND KITU CHA MILIONI 60
Staa
wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’
amevuta mkoko wa Kijanja wenye thamani ya ‘mkwanja wa Kibongo Milioni
60 keshi.
|
![]() |
Katika hatua nyingine Diamond alifunguka kuwa awali alinunua mdinga kama hiyo huko visiwani Zanzibar, lakini baada ya kuikagua aligundua kuwa lina matatizo na kuamua kulirudisha na kuagiza kitu kipyaaaaaa.
Subscribe to:
Comments (Atom)






























